Muziki

Song: Ally Nipishe – Nipulika

Hii ndo ngoma mpya kutoka kwa ALLY NIPISHE baada ya kufanya vizuri na ngoma yake ya “MY” ameiambia Bongo5 hii ngoma ya NIPULIKA ni neno la kiswahili cha ndani….. Hutumika katika mwambao wa pwani hasa maeneo ya Tanga. Lina maana ya NISIKILIZE

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents