Habari
Tanzania ni nchi ya pili Afrika ambayo uchumi wake unakua kwa kasi – IMF
Shirika la fedha duniani, IMF, limeitaja Tanzania kama nchi ya pili Afrika ambayo uchumi wake unakua kwa kasi.
Daraja la Kigamboni
Kwa ukuaji wa asilimia 6.9, Tanzania ipo chini ya Ivory Coast yenye asimilia 8.5. Tanzania itaendelea kufanya vizuri kutokana na kuongezeka kwa uwekezaji hasa kwenye mafuta na gesi pamoja na maboresho ya miundombinu na kuifanya kuwa sehemu muhimu ya usafirishaji Afrika.
Hii ni orodha rasmi:
1 Cote D’Ivoire 8.5%
2 Tanzania 6.9%
3 Senegal 6.6%
4 Djibouti 6.5%
5 Rwanda 6.3%
6 Kenya 6.0%
7 Mozambique 6.0%
8 Central African Republic 5.7%
9 Sierra Leone 5.3%
10 Uganda 5.3%