Burudani

The Rock na Vin Diesel bado hawapikiki chungu kimoja

Uhasama kati ya mafahari wawili wa filamu ya Fast and Furious, The Rock na Vin Diesel bado unaendelea, imeripotiwa.

Chanzo kimeuambia mtandao wa The Hollywood Reporter kuwa wawili hao wanatenganishwa kwenye matukio ya kuitangaza filamu yao ijayo na hata kuwa kwenye chumba kimoja. Hii imekuja kama surprise kwakuwa wawili hao waliwahi kusuluhishwa.

The Fate of the Furious itaingia kwenye majumba ya sinema April 14, 2017.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents