Michezo

UEFA yaongeza tuzo 5 kwa wachezaji

Shirikisho la mpira wa miguu barani Ulaya (UEFA) limeongeza idadi ya tuzo zitakazo tolewa kwa wachezaji bora wa mwaka ambao watapatikana kupitia kura za makocha pamoja na waandishi wa habari za michezo.

Makao makuu ya shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA)

Tuzo hizo ambazo idadi yake zitafikia tano zinatarajiwa kuanza kutolewa Agosti 24 katika jiji la Monaco nchini Ufaransa, katika droo ya makundi ya ligi ya mabingwa Ulaya.

Ujio wa tuzo hizi ni kwaajili ya wachezaji waliofanya vizuri katika mashindano ya msimu uliopita mwaka 2016/17.

BY HAMZA FUMO

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents