Muziki

Utapenda alichokifanya msanii mchanga Yayah Prince kwenye wimbo wake ‘Chuchumaa’

Msanii mpya wa muziki wa BongoFleva, Yayah Prince wiki hii ameachia video ya wimbo wake mpya uitwao ‘Chuchumaa’. Muimbaji huyo ambaye anaonekana kuwa na uwezo mkubwa wa kuandika na kuimba, huwenda akaja kuwa tishio kwa siku za usoni kama aendelea kufanya hiki anachokifanya.

https://youtu.be/WZ8Qrf4HyFU

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents