Michezo
Video- Afya ya Kiungo wa Azam FC yaimarika
Kiungo nyota wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Frank Domayo ‘Chumvi’, hivi sasa hali yake inaendelea vema baada ya kupata majeraha ya nyama za nyuma ya paja kwenye mchezo uliopita dhidi ya Mbao, ambapo ameendelea kuwa chini ya uangalizi wa daktari wa viungo, Dr. Vincent
https://www.facebook.com/azamfc/videos/1625650217475328/
BY HAMZA FUMO.