MichezoUncategorized
Video: Alikiba alidharau uwezo wangu, sasa moto wangu wameuona – Joti
Msemaji wa timu ya Mbwana Samatta, Joti amedai sio kweli kwamba alimtosa Alikiba na kuamua kujiunga na team Samatta kama baadhi ya watu wanavyodai. Mchekeshaji huyo amedai muimbaji huyo wa Aje alionekana kudharau uwezo wake ndio maana lilivyotokea deal la Samatta akalichangamkia.