Burudani

Video chafu ya Nandy na Bill Nass haikuvunja mahusiano yao (+video)

Msanii Bill Nass amesema stakata la kuvuja kwa video ya faragha kati yake Nandy haukumuachanisha na mpenzi wake.

Rapper huyo amesema kwa kipindi hicho mpenzi wake ndio alikuwa mtu wake wa karibu zaidi.

“Hapana sijaaachana na mpenzi wangu nipo naye hadi sasa na ndio mtu pekee nilikuwa nawasiliana naye kila saa. She is very clever anajielewa, alitazama kwanza, alijua, akaangalia ni kwa namna gani anaweza kujenga kuliko kuharibu zaidi,” Bill Nass ameiambia Bongo5.

Hivi karibuni Nandy akiwa katika media tour nchini Kenya alisema kuwa Boyfriend wake amemkataza kuzungumzia suala hilo ila bado penzi lao lipo pale pale.

Utakumbuka April 12, 2018 ndipo ilivuja video mtandaoni ya utupu ambayo iliwaonyesha Bill Nass na Nandy wakiwa faragha.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents