Burudani
Video: Mrembo wa Rwanda afunguka mahusiano yake na Diamond, amtaja Wema Sepetu
Mwanamitindo na ‘Video Vixen’ kutoka Rwanda, Shaddy Boo amekanusha kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii wa Bongo Fleva, Diamond Pltnumz kama watu wengi wanavyozungumza huku akikiri kuwa na urafiki naye.