Muziki
VIDEO: TID awakemea wanaoharibu muziki wetu “Waache kutoa muziki unaofanana fanana”
VIDEO: TID awakemea wanaoharibu muziki wetu "Waache kutoa muziki unaofanana fanana"
Mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva Khalid Mohamed a.k.a Tid amewakemea vikali baadhi ya wasanii wanaotoa muziki wa kufanana fanana maana wanauharibu muziki wetu.
Msanii huyo amefunguka hayo wakati anapiga stori na Bongo 5 kuhusiana na nyimbo yake mpya ya Washa ambayo amemshirikisha Kasimu Mganga.
hii ndio kauli ya Tid:-
TID ameachia nyimbo yake mpya akishirikiana na Kasimu mganga inayojulikana kama Washa.
By Ally Juma.
Anatafuta kiki Na ndo Maana harmonize hakuonesha kama kuna bifu ili kumzimisha Haaaaaaaaaaaaaa Fanya Kazi Bratha
Sasa sieimbe yeye huo mziki mzur ucofanana mwingine?
Kweli jembe,wambie aho na ma DJ wao ,