Habari
Video: Waliozimiwa simu feki watoa maoni yao kwa serikali
Ikiwa zimepita siku tatu tangu serikali kupitia TCRA wazime simu feki usiku wa Julai 17, baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliokumbwa na rungu hilo watoa maoni yao. Watazame hapo chini.