BurudaniUncategorized

Video: Willy Paul aeleza sababu za kuwatosa Huddah na Vera kisa mrembo wa video ya Rayvanny

Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya, Willy Paul, amefunguka sababu za kumtumia mrembo Irene ambaye amewahi kutokea kwenye video ya Rayvann ‘Kwetu’, kwenye video yake mpya ‘Malingo’ na kuwatosa warembo wengine wa Kenya kama akiwemo Huddah Monroe, Vera Sidika na wengine.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents