BurudaniUncategorized
Video: Willy Paul aeleza sababu za kuwatosa Huddah na Vera kisa mrembo wa video ya Rayvanny
Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya, Willy Paul, amefunguka sababu za kumtumia mrembo Irene ambaye amewahi kutokea kwenye video ya Rayvann ‘Kwetu’, kwenye video yake mpya ‘Malingo’ na kuwatosa warembo wengine wa Kenya kama akiwemo Huddah Monroe, Vera Sidika na wengine.