Michezo
Wachezaji wasiopimwa afya marufuku viwanjani – TFF
Wachezaji ambao hawatathibitishwa afya zao hawataruhusiwa kucheza katika ligi kuu Tanzania Bara, ligi daraja la kwanza pamoja na ligi daraja la kwanza msimu ujao wa 2017/18
Makao Makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Katazo hilo ni kwa mujibu wa mabadiliko ya kanuni za ligi hiyo yaliyofanywa na kamati ya utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) katika kikao chake cha Julai 30 mwaka huu, ambacho pia kilipitisha mambo mbalimbali.
By Hamza Fumo