Burudani

Watu kama sisi ni romantic – Chemical

Msanii wa muziki Bongo, Chemical amefunguka kuhusu picha zake na producer Max Maizer.

Chemical amesema picha hizo zilipigwa wakati waki-shoot video ya ngoma ‘Asali’ lakini zikuja kuwa gumzo kutokana watu hawajamzoea kumuona katika hali hiyo ila ni vitu ambavyo vipo katika maisha yake ya kawaida.

“Inawezekana walikuwa hawaamini lakini watu kama sisi ni romantic, we are very romantic basi hawajuagi watu,” Chemical ameiambia EATV na kuoengeza, “Nasisi hatutaki waonyesha kwa sababu wanaweza wakaganda, wakang’ang’ania.”.

Chemical na Max Maizer

Producer Max Maizer amehusika kutengeza ngoma kadhaa za Chemical ikiwemo mpya ya sasa ‘Asali’ ambayo amemshirikisha Beka Flavour.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents