Zari awapiga STOP Wema na Aunty Ezekiel kwenda Afrika Kusini kwenye Birthday ya Tiffah ‘mtanichafulia nyumba yangu’
Mzazi mwezie na msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Zari ameukataa ugeni wa mastaa wa filamu kutoka Tanzania Wema Sepetu na Aunty Ezekiel.
Marufuku hiyo ya Zari imekuja masaa machache baada ya Diamond kutangaza kuwa kwenye Birthday ya mtoto wao Tiffah kutakuwa na wanakamati 10 kutoka Tanzania ambapo kati ya hao yumo EX wake Wema Sepetu na Aunty Ezekiel kwenye sherehe ya 40 ya mtoto wa Mtangazaji wa runinga Zamaradi Mketema.
Zari kupitia mtandao wa Instagram amesema hataki ugeni wowote kutoka kwa watu hao kwani amedai atachafuliwa tu nyumba yake.
“Sitaki kunichafulia nyumba yangu samahani naomba mkae huko huko“,amefunguka Zari baada ya kuulizwa swali na mmoja ya mdau kwenye mtandao wa Instagram.
Mapema mwezi huu Diamond aliahidi kupeleka mashabiki wake 30 nchini Afrika Kusini kusherehekea siku tatu Birthday ya Tiffah kuanzia tarehe 17 hadi 19 Agosti 2018.
Tiffah amezaliwa tarehe 06 Agosti na sherehe hiyo itakuwa ni ya kipekee soma zaidi kuhusu tukio hilo – Diamond Platnumz atangaza habari njema kwa mashabiki wa WCB.
!!!!!!
Kimenuka
Kumekucha
Eheee!
Sawasawa wakome kujishaua wamezidi
Hiyo Safi Wanafiki Sana Hawa!
Safiiiiiiii sana yajayo yanafurahishaaaaaa
Safi san
Duuuuh
Mmm
Kimenuka kweli
Wafanye usafi makwao awooo
Masnitch
Ana nyumba Kumbe… Cheefu
Kwani watakufa wasipoenda?
Mmmmh wewe zari mshamba sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hata mkinuna mwenye nyumba kashasema mkome kwaza mtamchafulia nyumba yake
Kwanyumba gani nayo kibibi kizee cha 2lin unamatatizo
Wajikwazee mjomba nambene
Wajikwazee mjomba nambene
Amewakomesha safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii umbeatu
Hio NYUMBA ataenda NAyo kabulini?
kumbe nyumba siyo ya nasibu aaaaaaaaaaaaaa watapata tabu sana
#damu_itamwagika
#HATUSHINDWIIIIIIII
Safiiiiii
Kiboko ya wambea na mashankukukuuu watapata tabu sanaaa🤣
Inausu
😁😃😀😀😀😀
Hahaha
Hivi wana vihere’here hata hawaja alikwa nae dimond hana akili anapenda sifa
Safi sana zari waache shobo
Ok
NAKUPENDA SANA KWA UAMUZI WAKO DA ZARI
Wanatafuta upambe tu,na maneno ,waishie uko uko dar wanako pakahana jasho na diamond wao
Na visura vyao ,,utazani wanatoka vijijini Leo asubui,,angalieni mwenzenu kwanza alivyo
Kali hiyo.