AKA adai hajawahi kusikiliza diss track ya Cassper Nyovest ‘Dust 2 Dust’ iliyomlenga yeye
Wakati rapper Cassper Nyovest anakula bata Zanzibar na mpenzi wake , rapper AKA ameiamsha tena beef yao ambayo ilikuwa imemezwa na historia aliyoiweka Cassper ya kujaza ukumbi wa watu elfu 20 mwenyewe hadi kupongezwa na Rais Jacob Zuma siku chache zilizopita.
AKA ametweet na kusema kuwa hajawahi kusikiliza wimbo wa Cassper aliomdiss unaoitwa ‘Dust 2 Dust’.
Kwenye moja ya Tweet hizo AKA ameandika “kwanini nijidanganye kusikiliza wimbo uliojaa uongo kuhusu mimi?” (hapa sijui amejuaje umejaa uongo kama hajasikiliza!)
Jionee mwenyewe tweet za AKA:
Do you know that I've never actually heard Dust 2 Dust? The beat could come on and I'd be like, "what song is this?" Dead serious ? …
— AKA (@akaworldwide) November 7, 2015
Imagine someone wrote a diss track for you and you never took the time to listen to it. That's some real savage shit ???
— AKA (@akaworldwide) November 7, 2015
Imagine someone wrote a diss track for you and you never took the time to listen to it. That's some real savage shit ???
— AKA (@akaworldwide) November 7, 2015