Michezo
Alichozungumza Babra baada ya Simba kutua Kigoma (+ Video)
CEO wa Simba Barbara Gonzalez akizungumzia maandalizi ya timu hiyo kuelekea mechi ya fainali Kombe la Azam (ASFC), dakika chache baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kigoma.
CEO wa Simba Barbara Gonzalez akizungumzia maandalizi ya timu hiyo kuelekea mechi ya fainali Kombe la Azam (ASFC), dakika chache baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kigoma.