Alma ala shavu la umeneja OnerPM
@Onerpm @onerpmafrc yaongeza ofisi Zaidi AFRICA; @Almah_Bronxi akila shavu la Umeneja kwa Ukanda wa Tanzania.
Mbali na Tanzania, #ONErpm waendelea kupanua wigo kwa nchi kama South Africa ikiongozwa na @georgeavakian, Nairobi Kenya ikiongozwa na #BilhaNgaruiya pamoja na @thisis_Mutuma kitengo cha masoko, Ghana ikiongozwa na @delaa.li na Abidjan ikiongozwa na @AfiCakpo kama kiongozi wa ukanda wa nchi za kifaransa.
Jopo hili lote likiongozwa na @iamtheOsagie wa nchini Nigeria, akiwa kama director wa utelekelezaji kwa nchi za Africa.
Tayari ONErpm imeshawasainisha baadhi ya wasanii kutoka nchini Tanzania wakiwemo, @gnakowarawara, @mabantugram @bgway_gwayne @tundamantz @kayumbaasosie Na kwenye upande wa injili @MalkiaRoseMuhando @zabronsingers @anisetbutati na wengine wengi
Mpaka sasa Onerpm inaendeshwa ndani ya miji ishirini na tisa (29) za nchi ishirini (20) duniani