Baraza jipya la mawazi hili hapa!
- Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Mathias Chikawe
- Ofisi ya Rais – Mahusiano na Uratibu: Stephen Wassira
- Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma Hawa Ghasia
- Ofisi ya Makamu wa Rais – (Muungano) Samia Suluhu
- Ofisi ya Makamu wa Rais – (Mazingira) Dr. Terezya Luoga Hovisa
- Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge): William Lukuvi
Uwekezaji na Uwezeshaji Dr. Mary Nagu
- Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) George Huruma Mkuchika – Naibu: Aggrey Mwanri
- Wizara ya Fedha Mustapha Mkulo – Naibu: Gregory Teu, Pereira Ame Silima
- Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Shamsi Vuai Nahodha – Naibu: Balozi Khamis Suedi Kagasheki
- Wizara ya Katiba na Sheria Celina Kombani
- Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard K. Membe – Naibu: Mahadhi Juma Mahadhi
- Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi
- Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dr. Mathayo David Mathayo – Naibu: Benedict Ole Nangoro
- Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mnyaa Mbarawa – Naibu: Charles Kitwanga
- Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka Naibu: Goodluck Ole Madeye
- Wizara ya Maliasili na Utalii Ezekiel Maige
- Wizara ya Nishati na Madini William Mganga Ngeleja 1. Adam Kigoma Malima
- Wizara ya Ujenzi Dr. John Pombe Magufuli – Naibu: Dr. Harrison Mwakyembe
- Wizara ya Uchukuzi Omari Nundu – Naibu: Athumani Mfutakamba
- Wizara ya Viwanda na Biashara Dr. Cyril Chami – Naibu: Lazaro Nyalandu
- Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dr. Shukuru Kawambwa – Naibu: Philipo Mulugo
- Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dr. Haji Hussein Mpanda – Naibu: Dr. Lucy Nkya
- Wizara ya Kazi na Ajira Gaudensia Kabaka Makongoro Mahanga
- Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Sophia Simba Umi Ali Mwalimu
- Wizara ya Habari, Vijana na Michezo Emmanuel John Nchimbi – Naibu:Dr. Fenella Mukangara
- Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel John Sitta – Naibu Dr. Abdallah Juma Abdallah
- Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Prof. Jumanne Maghembe – Naibu: Christopher Chiza
- Wizara ya Maji: Prof. Mark James Mwandosya