HabariMichezo

Benchikha wa Simba ndani ya tatu bora Afrika

Kocha wa Simba SC, Benchikha ni miongoni mwa makocha watatu Bora Afrika ambao wapo kwenye Orodha ya kuwania tuzo hiyo kwa mwaka wa 2022/2023

Klaba ya kutua Msimbazi Kocha, Abdelhak Benchikha alikuwa katika timu ya USM Alger ambako amekuwa na mafanikio makubwa kwa kushinda Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga na Super Cup mbele ya Al Ahly.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents