Bilionea na muwekezaji wa Klabu ya Simba, Mo Dewji hii leo amekutana na kuzungumza na wachezaji wa timu hiyo kuelekea mchezo wao wa Derby dhidi ya Yanga mechi ya Ngao ya Jamii.
Taarifa kutoka Simba zimesema kuwa “Rais wa heshima Mohammed Dewji leo amekutana na kuongea na wachezaji kuelekea mchezo wa kesho wa Ngao ya Jamii,”- Simba SC