Habari
CLUB E Presents ‘LICENCE TO PARTY’, ni Ijumaa hii Mlimani City
CLUB E imekuandalia ‘LICENCE TO PARTY’, itakayofanyika Ijumaa hii (December 6) katika ukumbi wa Mlimani City. Wasanii watakaokuwepo kutoa burudani ni pamoja na Vanessa Mdee, Banana Zorro, Ommy Dimpoz na Kidumu.