Congrats: Victoria Martin apata mtoto wa kiume
Aliyewahi kuwa Miss Tanga na balozi wa Redd’s mwaka 2007 Victoria Martin amejifungua mtoto wa kiume.
Bongo5 inampongeza Victoria na baba mtoto kwa ujio huo wa mtoto wao.
Source: Miss Popular blog
Aliyewahi kuwa Miss Tanga na balozi wa Redd’s mwaka 2007 Victoria Martin amejifungua mtoto wa kiume.
Bongo5 inampongeza Victoria na baba mtoto kwa ujio huo wa mtoto wao.
Source: Miss Popular blog