BurudaniVideos

Dija wa Mavins ya Don Jazz atua Tanzania, Maua Sama ampokea (+ Video)

Staa wa Bongo Fleva @mauasama amempokea msanii mwenzake kutoka nchini Nigeria @aphrodija kwa ajili ya kufanya video wao ambao @mauasama amemshirikisha.

Baada ya kutua Airpot aliongea machache na wana habari huku akieleza alivyomfahamu @mauasama lakini pia lebo iliyomsimamia ambayo ipo chini ya @donjazzy ya @mavinsrecordshq inatimiza miaka 10 ana chochote cha kusema.

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents