Fahamu
Fahamu vipengele vitakavyotumiwa kwenye tuzo mpya za bongo movie mwaka huu (+ Video)
Baada ya Bodi ya filamu kutangaza ujio wa filamu nchini Kaimu mtendaji wa bodi ya filamu Tanzania Dr. Kiago Kilonzo ameeleza utaratibu wa upigaji kura kwa yeyote atakayetamani kupiga kura.
Pia ameeleza namna ya kumtambua mshinda n azipi zitakuwa Category ambazoz wasanii watazishindania.