Mshindi wa Bilioni 1.2, Florian Valerian Massawe amesema kabla hata ya kutangazwa na SportPesa kuwa mshindi alijaribu kuficha ukweli wa ushindi wake mpaka atakapothibitishwa lakini alishangaa kuona simu zaidi ya 300 akipigiwa kutoka kwa marafiki.
Serikali imepata kodi ya Shilingi Milioni 188 kutoka Fabian Massawe baada ya kushinda Jackpot hiyo iliyotokana na kubashiri michezo 13 za ligi mbalimbali duniani.