Burudani

Hamisa Mobetto afanya show yake ya kwanza ya kimataifa Marekani (Video)

Msanii wa muziki na mwanamitindo, Hamisa Mobetto Jumatatu hii amefanya show ya nguvu Houston,Texas Marekani akiwa na mkali wa masauti, Christian Bella. Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo Madam Hero, aliimba wimbo wake huyo mbele ya mashabiki hao ambao walionekana kufurahishwa namna mrembo huyo alivyokuwa anatambaa na biti.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents