Habari

Harmonize atoa machozi akiimba kwenye mazishi ya Hayati Mkapa Lupaso (Video)

Msanii wa muziki @harmonize_tz ni mmoja kati ya wasanii ambao wamepata fursa ya kuimba wimbo wa maombolezo kwenye mazishi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, hayati Benjamin Mkapa. Shughuli hiyo ya mazishi inafanyikia nyumbani kwa marehemu kijiji Cha Lupaso Wilaya ya Masasi Mkoni Lindi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents