Burudani

Hii ndio orodha ya awali ya wasanii 48 watakaoperform katika Tamasha la Wireless London, Cardi B, Migos na Future ndani, Waafrika watoswa

Katika Tamasha kubwa ambalo linafanyikila mwaka katika jiji la London linalojulikana kama Wireless Festival ambalo hufanyika kila ifikapo mwezi wa 7 kuanzia tarehe 5-7 limedhibitishwa kuwepo tena.

Katika tamasha hilo tayari orodha ya awali ya wasanii watakao perform kwenye tamasha hilo na katika orodha hiyo hakuna msanii yeyote kutoka Afrika licha ya kuwepo msanii mwenye asili ya Nigeria ambaye makazi yake ni London nchini Uingereza.

Imezeleka kuwa baadhi ya wasanii kutokaAfrika kuwepo na hasa Wizkid pamoja na Davido ambao hata mwaka uliopita wizkid alikuwemo kwenye orodha hiyo, labda katika orodha ya pili kwa sababu wameandika itaendelea huwenda wakepo.

Orodha yeyewe ndio hii hapa:-

Wireless Festival 2019 Line Up

Friday 5th July 2019

Cardi B – CO-HEADLINER 
Migos – CO-HEADLINER 
Tory Lanez 
Ella Mai 
Tyga 
Lil Skies 
Bugzy Malone 
Fredo 
Maleek Berry 
Headie One 
IAMDDB
Maleek Berry
NSG
B Young

Saturday 6th July 2019

Travis Scott – HEADLINER 
Future (Special Guest) 
Lil Uzi Vert 
Young Thug 
Stefflon Don 
Juice WRLD 
Trippie Redd 
Unknown T 
Sheck Wes 
Saweetie 
Ambush Buzzworl 
M Huncho 
Steel Bangelz & Guests 
Cadet 
Digdat 
Deno Driz

Sunday 7th July 2019

ASAP Rocky – HEADLINER 
Rae Sremmurd 
AJ Tracey 
Lil Baby 
Gunna 
Not3s 
Rich the Kid 
Ski Mask The Slump God
Denzel Curry 
D Block Europe 
Loski 
JID 
Flohio 
Russ Splash
Flohio
Lady Sanity

Plus more to be announced.

Hosted by Capital XTRA’s DJ Semtex / Manny Norte / Tim Westwood / Yinka

By Ally Juma.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents