Burudani
Joti adai ni ngumu kurudi Original Comedy, afunguka kutajwa tuzo za Zikomo Award Africa (Video)
Mchekeshaji @jotiofficial amedai ni ngumu kwake kwa sasa kurujea kufanya kazi na wasanii wenzake wa Original Comedy kutokana na mikataba aliyokuwa nayo.
Joti ameyasema hayo leo akiwa @tanzania_film_board baada ya kualikwa kupongezwa baada ya kutajwa kwenye tuzo hizo kubwa Afrika pamoja na kuwahamasisha watu kupiga kura.