BurudaniDiamond Platnumz

Juma Nature: Sifanyi collabo na Diamond mpaka..

Rapper mkongwe, Juma Nature amedai kuwa hawezi kufanya wimbo na Diamond mpaka pale dhamira yake ya kushindana naye jukwaani itakapo timia.

13402147_1650737738585871_484956112_n

Mapema mwezi April mwaka huu Nature alikiambia kipindi cha Ladha 3600 cha EFM kuwa Diamond ndiye mpinzani wake pekee kwa sasa na hakuisema kwa ubaya.

Akiongea na Times FM msanii huyo amesema, “Collabo na Diamond bado mpaka tupambane tushindanishwe kwenye jukwaa moja nani mkali wa kupiga show ndio labda ifate collabo.”

Nature ameongeza kuwa mashabiki wasifikirie vibaya kuhusiana na kauli yake hiyo lengo lake ni kujenga ushindani wenye faida kati yao.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents