Burudani

Kala Jeremiah , Rayvanny, Zuchu, Mbosso jukwaa moja, Rais Samia akizungumza na vijana wa Mwanza (Video)

Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Kala Jeremiah, Peter Msechu, Mbosso, Zuchu,B endi ya muziki wa dansi T.O.T na wengine wengi wamekonga nyoyo za Wanamwanza walipotumbuiza katika mkutano wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alipokua akizungumza na Vijana katika viwanja vya nyamagana leo juni 15,2021.

Mashabiki na viongozi mbali mbali wameonekana wakisimama kila wasanii hao walipopanda jukwaani kutoa burudani lakini hasa alipopanda msanii wa kike kutoka lebo ya WCB Zuchu ,ambae alionekana kupokelewa kwa shangwe nyingi na Wanamwanza ambao walikua wakiimba nae pamoja nyimbo zote alizokua akiimba.

BY – BAKARI WAZIRI

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents