Burudani

Kampeni ya Amka Kijana ya Bongo Movie yaacha historia Iringa (Video)

Tamasha la Amka Vijana la wasanii wa filamu nchini limefanikiwa kwa kiasi kikubwa baada ya kuhudhuriwa na watu wengi mkoani humo. Msanii wa muziki wa singeli, Dulla Makabila alikuwa mmoja kati ya wasanii waliofanya vizuri hali iliyomfanya DC wa Iringa, Richard Kasesela kuinuka na kuanza kuonyesha uwezo wake wakucheza singeli.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents