Michezo
Karibu Pablo Franco, mfumo wangu kesho – Nabi wa Yanga amtumia salamu kocha wa Simba
Kocha Mkuu wa Young Africans SC, Nasreddine Nabi ametumia muda wake wa mkutano na waandishi wa habari kumkaribisha kocha mgeni katika NBC Premier Leahgue, Pablo Franco wa Simba na kumuambia Tanzania ni nchi yenye amani na utulivu na watu wake nawanapenda soka, ameyasema hayo kuelekea mchezo wao wa Derby ya Kariakoo hepo kesho kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.