Bongo5 ExclusivesBurudaniDiamond PlatnumzHabari

Kauli ya kwanza ya Harmonize baada ya kutua uwanja wa Ndege

Staa wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya @kondegang @harmonize_tz alivyotua Waandishi walimuendea ili wapige naye stori ila akachomoa betri.

@harmonize_tz amewaomba waandoshi asizungumze chochote maana amechoka sana amesafiri siku tatu hivyo ataandaa press ili aje aongee yote.

Mbali na hilo @harmonize_tz amesema kuwa amejifunza mengi sana na anataka kuongea hasa kuhusu ukuaji wa muziki wa Bongo Fleva.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents