Burudani

Khloe Kardashian na Lamar Odom wafuta kesi yao ya talaka ili kuipa ndoa nafasi ya pili

Kufuatia kuugua kwa mcheza kikapu wa NBA Lamar Odom, hali hiyo imewaunganisha tena na mke wake Khloe Kardashian ambapo sasa couple hiyo kwa pamoja imeamua kufuta kesi yao ya talaka ili waendelee kuwa mume na mke.

Khole na Lamar

Kwa mujibu wa TMZ, mwanasheria wa Khloe aitwaye Laura Wasser Jumatano Oct 20 alienda kwa hakimu kuomba kusitisha kesi hiyo huku wote wakiwa wamesaini hati ya kukubali kufuta kesi ya kusitisha ndoa hiyo, na jaji alifanya kama walivyoomba.

Lamar (35) na Khloe (31) walifunga ndoa mwaka 2009 na kutengana miaka minne baadae. Khloe alifungua kesi ya kudai talaka December 2013.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents