Habari

Kundi la ISIS laua watu 232 nchini Iraq

Kundi la kigaidi la ISIS limewaua watu 232 jirani na mji wa Iraqi, Mosul na kushikilia makumi kwa maelfu ya watu linalowatumia kama ngao ya binadamu dhidi ya majeshi ya Iraqi na yale ya Umoja wa Mataifa yanaousogelea mji huo.

isis-iraq-war-crimes_si_

Kundi hilo limefanya mauaji hayo Jumatano hii kwa kuwaadhibu watu waliokiuka maagizo yake.
Msemaji wa shirika la haki za binadamu la umoja wa mataifa aliiambia CNN kuwa ISIS waliua raia 42 na wanajeshi wa zamani wa Iraq 190 waliokataa kujiunga nao.

Tangu October 17, ISIS imeshikilia makumi kwa maelfu ya wanaume, wanawake na watoto kutoka Mosul.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents