Habari
Latra: Kupanda kwa nauli sio gharama za mafuta peke yake, ni gharama za uwekezaji, capital cost (Video)
“Sababu zimeonyesha sio mafuta peke yake, ndio maana nilikuwa namwambia yule mwakilishi wa madera aangalia hesabu ya mafuta kwa ana mafuta, kila siku bei ikipanda mafuta hapana,” amesema Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), CPA Habibu Suluo ametangaza bei za mpya za daladala na magari ya mikoani.