BurudaniHabariTechnology
Lukamba afungua App yake rasmi ya Lukash Net, aeleza inavyofanya kazi
Alikuwa mpiga picha wa Diamond Platnumz Lukamba ametangaza kuzindua APP yake rasmi ambayo inaitwa LUKASH NET, Kupitia mitandao yake ya kijamii Lukamba ameeleza namna APP hiyo itakavyokuwa inafanya kazi na wapi itakuwa inapatikana.
Ikumbukwe Lukamba miezi kadha anyuma alitangaza kuacha kufanya kazi na Diamond na kufungua ofisi yake ya Imagix media, sasa maetangaza kufungua APP ambayo itakuwa maalumu kwa ajili ya kuweka Filamu mbalimbali.
Msikilize Lukamba anavyoeleza halafu toa maoni yako.
App ya LUKASH NET itahusika kuweka movie, Tv shows na mambo mengine ya kimtandao.
Una chochote cha kumshauri Lukamba?? pic.twitter.com/MUgxnVI0hD
— bongo5.com (@bongofive) October 18, 2022