Bongo5 ExclusivesBurudaniHabari

Maluma awapeleka Rayvanny na S2kizzy Grammy

 

Siku ya leo vipengele vya tuzo ya Grammy vimetangazwa na habari nzuri kwa Bongo Fleva ni kwamba Ngoma Ya “Mama Tetema” (Maluma & @rayvanny ) imeingia Ndani Ya Tuzo Za Grammys 2024. Wimbo Huu Umeingia Kupitia Album Ya @maluma Iitwayo “Don Juan” Katika Kipengele Cha “Best Latino Pop Album”

Mama Tetema Ni Track No 21 Katika Album Hiyo Ya Maluma “Don Juan”

Mbbali na hilo Producer S2kizzy ndio alitengeneza ngoma hii hivyo na yeye yumo kama Mtayarishaji wa wimbo huo.

Kama bbado hujataza RECAP & MANDO link ipo chini hapa

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents