Kupitia kwenye kipindi cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amezungumzia sakata la marapa wa Bongo Fleva Roma Mkatoliki na Wakazi ambao siku hizi wameususa muziki na kuwa wachambbuzi wa masuala ya muziki huko Twitter.
@el_mando_tz anasema kuw aile kauli ya rapa wa Kenya Papa Jones Khaligraph Jones inaanza kuaminiki kuwa ni kweli ambapo aliwachana marapa wa Tanzania kwenye ngoma yake ya Bongo Fiver.
@el_mando_tz anaongeza kuwa amegundua kuwa muziki wa Hip Hop wa Tanzania unashushwa na wasanii wenyewe.
Anatoa sabbabu kuwa wengi wao wamekuwa wakifanya muziki mpaka msanii mwingine aanzishe topic aidha kuwa-diss au kitu kingine ila baada ya hapo wannakaa kimya.