Burudani
Mama mzazi Pogba na mke wake wajirekodi wakicheza wimbo wa Diamond platnumz Waah (+ Video)
Ukiitazama video hii utajionea ni namna gani familia hii ya mchezaji mkubwa kabisa duniani anayechezea klabu ya @manchesterunited na timu ya taifa ya Ufaransa @paulpogba inavyofuatilia muziki wa Bongo Fleva hsa Diamond Platnumz.
Analia mpaka mwisho ujionee Mke wake @paulpogba @zulaypogba akicheza kwa kufuata step ambazo @diamondplatnumz huzitumia.