Michezo
Manara na kindoki wa Yanga “Tufanye mdahalo mimi peke yangu kutoka Simba na viongozi wote wa Yanga na wanachama wao tuongelee mpira waone” – Video
Manara na kindoki wa Yanga "Tufanye mdahalo mimi peke yangu kutoka Simba na viongozi wote wa Yanga na wanachama wao tuongelee mpira waone" - Video
Msemaji wa klabu ya @simbasctanzania @hajismanara aliongea maneno hayo siku ya jana wakati akifanyiwa mahojiano na kituo cha East Afrika Radio
@hajismanara aliongeza pia yeye hana ugomvi na msemaji wa @yangasc BUMBULI pamoja na Afisa mhamasishaji wa klabu hiyo @antonionugaz
Katika mahojiano hayo Manata amesema kuwa “Andaeni mdahalo muwaite viongozi wote wa Yanga na wananchama wao mimi niwe pekee yangu kutoka simba tuongelee mambo ya mpira waone”
https://www.instagram.com/p/B-w15VbhqBj/
By Ally Juma.