Michezo

Manara na kindoki wa Yanga “Tufanye mdahalo mimi peke yangu kutoka Simba na viongozi wote wa Yanga na wanachama wao tuongelee mpira waone” – Video

Manara na kindoki wa Yanga "Tufanye mdahalo mimi peke yangu kutoka Simba na viongozi wote wa Yanga na wanachama wao tuongelee mpira waone" - Video

Msemaji wa klabu ya @simbasctanzania @hajismanara aliongea maneno hayo siku ya jana wakati akifanyiwa mahojiano na kituo cha East Afrika Radio
@hajismanara aliongeza pia yeye hana ugomvi na msemaji wa @yangasc BUMBULI pamoja na Afisa mhamasishaji wa klabu hiyo @antonionugaz

Katika mahojiano hayo Manata amesema kuwa “Andaeni mdahalo muwaite viongozi wote wa Yanga na wananchama wao mimi niwe pekee yangu kutoka simba tuongelee mambo ya mpira waone”

https://www.instagram.com/p/B-w15VbhqBj/

By Ally Juma.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents