Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Mandonga aomba kuonana na Diamond, nina mengi ya kumueleza nitoe nyongo yangu
Kupitia kipindi cha Recap na Mando @el_mando_tz ameongea mengi sana na @k_mandonga lakini @k_mandonga akiomba kukutana na @diamondplatnumz face to face.
@k_mandonga ameeleza kuwa kuna mengi sana anataka kumueleza @diamondplatnumz na kutoa kinyongo chake ili awe na furaha maana hawezi kuyaongea mambp yale hadharani.
Mbali ya kuomba kukutana na @diamondplatnumz @k_mandonga ameeleza kukerwa na kauli ya @sallam_sk kuwa aangalie asisindikeze watu kwenye utajiri.