Mbunge wa Makambako (CCM) Deo Sanga amesema bajeti ya serikali 2021/22 imejaa neema kwa Wananchi wake wa jimbo la Makambako.
Amesema miradi ya maji pamoja na ruzuku ya pembejeo itawasaidia wakulima wa Makambako.
Mbunge wa Makambako (CCM) Deo Sanga amesema bajeti ya serikali 2021/22 imejaa neema kwa Wananchi wake wa jimbo la Makambako.
Amesema miradi ya maji pamoja na ruzuku ya pembejeo itawasaidia wakulima wa Makambako.