Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano

MC Dr Cheni aeleza sababu za kutofanya harusi ya Wolper

Msanii wa Bongo movie ambaye kwa sasa anafanya kazi za U-MC @drcheni amejibu kuhusu kauli ya MC mwenzake @mcgarab kuwa mavazi aliyovaa kwenye harusi ya @officialnandy ambapo Gara B alisema hayakuwa mazuri.

Mbali na hilo @drcheni amezungumzia uzoefu wake wa kuendesha harusi ya familia iliyozesha mabinti wake wanne.

@drcheni ameweka wazi kuwa sio kwamba walishindwana bei na @wolperstylish kuhusu harusi yake bali wakati wanamfuata walikuta tayati amechukulia na famili nyingine.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents