Burudani

Michongo: Ben Pol, Ditto, Weusi na wengine wakutana na PCCB (Picha)

Inaonekana taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa, TAKUKURU inataka kuja na kampeni mpya na huenda ikawatumia wasanii kui’push.

e9187678250511e38dae22000ae81e0b_7
Ben Pol na Ditto wakiwa kwenye ofisi za makao makuu ya TAKUKURU

Taasisi hiyo leo imekutana na wasanii mbalimbali wakiwemo Ben Pol, Lameck Ditto, Nick wa Pili na G-Nako kwaajili ya kikao.
58e01c46250511e38f6e22000a9e07ed_7
Ben Pol, Nick wa Pili na G-Nako

Bado haijajulikana mkutano huo ulihusu nini lakini kuna uwezekano mkubwa ukawa mkutano wa mwanzo wa kampeni ya taasisi hiyo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents