Burudani

Millem Magese atunukiwa tuzo ya heshima ya Global Good ya BET Awards 2015

Miss Tanzania, 2001, Happiness Millen Magese, hatimaye ametunukiwa tuzo ya kwanza ya heshima ya Global Good ya BET Awards 2015.

Millen-Magese-x-Joice-Jacobs_1-2

Millen amepewa tuzo hiyo kutokana na jitihada zake za kampeni ya ugonjwa wa endometriosis ambao pia amekuwa nao katika maisha yake yote tangu awe msichana. Tatizo hilo limempelekea kuwa mgumba.

11386557_1619727821603444_805207181_n

Pamoja na hivyo Millen amekuwa mstari wa mbele kutoa misaada mbalimbali kwa wasiojiweza.

11425800_663222117147810_611662534_n

“I’m so humbled emojiemojiemojiemojiemojiemojiemoji. I will lift you higher among Nations. Father I thank you for lifting up my country too . Thank you #BETAWARDS2015 for this honor,” ameandika Millen kwenye Instagram.

Mastaa mbalimbali wakiwemo Don Jazzy, AY, Diamond, Vanessa Mdee wamempongeza kwa hatua hiyo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents