Michezo
Mke wa Ryan Giggs adai talaka yake
Winga wa zamani wa klabu ya Manchester united ‘Ryan Giggs’ kwasasa ametengana na mke wake Stacey baada ya tuhuma kuwa Giggs amekuwa na tabia kumsaliti na wanawake tofauti.
Mambo haya yameibuka baada ya ukaribu wa kimapenzi wa Giggs na mfanya kazi wake wa kike kwenye mgahawa wake uliopo mjini Manchester.
Giggs na mke wake ambao walifunga ndoa September 2007,siku za hivi katikati Gigs alihusishwa kumsaliti mke wake na wanawake kama model Imogen Thomas na mke wa mdogo wake Natasha Lever ila inasemekana alitumia nguvu na pesa kuzuia stori hizi kusamba lakini ilishindika kwa asilimia 100.
Huu ndo mchepuko unao tikisa ndoa ya Giggs’ anaitwa Kate
Saivi kuna taarifa mpya kuwa mke wa Giggs anataka talaka yake sasa.