Habari

Video: Tazama Afrokid Documentary iliyofanyika Morogoro, itakuliza

Afrokid Documentary inaangaza maisha ya mtoto, Dame Jumanne anayeishi katika kijiji cha Ruvuma, kilichopo mkoani Morogoro. Dame anakabiliwa na ugumu wa maisha kutokana na familia yake kuwa maskini na huku akilazimika kutembea kila saba (kwenda na kurudi 14) kila siku kwenda shule. Jionee mwenyewe na saidia mradi huu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents